Nyumba inapangishwa Ubungo, Dar Es Salaam


:
𝙉𝙮𝙪𝙢𝙗𝙖 𝙆𝙪𝙗𝙬𝙖 𝙮𝙖 𝙆𝙪𝙥𝙖𝙣𝙜𝙖 250k
#𝙇𝙤𝙘𝙖𝙩𝙞𝙤𝙣: UBUNGO KIBANGU RIVERSIDE
Umbali wa Kilomita Moja Kutoka Main Road, Unaweza Kutembea au Boda 1000
𝙎𝙞𝙛𝙖 𝙕𝙖𝙠𝙚
============
• Sebule Kubwa
• Vyumba VIWILI Vya Kulala Vikubwa
• Jiko Kubwa
• Choo Kizuri Ndani
Apartment zipo Nne Kwenye Eneo Moja Fensi Haujakamilika ila Usalama wa Uhakika na Parking ya Gari Ipo.
Kila Apartment Inajitegemea Umeme LUKU na Maji Yapo Dawasa yanaflow ndani.
𝙆𝙤𝙙𝙞 𝙠𝙬𝙖 𝙈𝙬𝙚𝙯𝙞 𝙣𝙞 Tsh. 250,000/- Malipo Miezi 6
𝘼𝙣𝙜𝙖𝙡𝙞𝙯𝙤
Survey Charge ni 10,000 tu Utaonyeshwa Nyumba zote unazohitaji Zilizopo na Malipo ya Dalali.
𝘿𝙖𝙡𝙖𝙡𝙞 𝙐𝙗𝙪𝙣𝙜𝙤
0716 776247 WhatsApp
0754 221168 Whatsapp