Nyumba inapangishwa Uhuru, Dodoma

 media -1
media -1
Sh. 50,000

“Funga mwaka kwa uwekezaji wa kipekee! Nyumba ya kisasa yenye wapangaji wanaolipa jumla ya Tsh milioni 1.2 kwa mwezi, na kodi yenye nafasi ya kupanda kadri muda unavyoenda! Hii ni nafasi ya uhakika ya kuingiza kipato cha kila mwezi na kujiwekea uhuru wa kifedha. Hati ipo katika hatua za mwisho za usajili, hivyo jina litakuwa moja kwa moja la mnunuzi. Nyumba ipo Tabata Segerea, eneo zuri na lenye huduma zote. Gharama za kutembelea na kukagua ni Tsh 50,000. Usikose nafasi hii adimu!

#UwekezajiWaKudumu #NyumbaKwaWenyeNia #TabataSegerea #FursaYaKipato #NyumbaYakoSasa #MwakaMpyaNaUwekezaji #RealEstateTanzania”#fensed#dalalisosotabata

ABDULKARIM AUDAX NKOKO
dalalisoso___tz
ABDULKARIM AUDAX NKOKO

Similar items by location

Nyumba/Apartment inauzwa Uhuru, Dodoma

Sh. 4,000,000,000

*Prime area Commercial Property along Uhuru road for sale in Arusha*-3 floor building has 33 office ...

Nyumba/Apartment (Furnished) ya vyumba vinne inapangishwa Uhuru, Dodoma

Sh. 6,600,000

📍Rent PRESTIGIOUS UHURU HEIGHTS TOWER 4 bedrooms LUXURIOUS MODERN FULLY FURNISHED apartment (across...

Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Uhuru, Dodoma

Sh. 195,000,000

NYUMBA INAUZWA vyumba vitatu vyakulala sebule Jiko choo dining chumba kimoja self contained DAR ES S...

Nyumba/Apartment ya vyumba vinne inauzwa Uhuru, Dodoma

$ 350,000

APARTMENTS FOR SALELocation: Uhuru HeightsAvailable Flats:14th Floor: Apartment 140617th Floor: Apar...

Nyumba inapangishwa Uhuru, Dodoma

Sh. 50,000

“Funga mwaka kwa uwekezaji wa kipekee! Nyumba ya kisasa yenye wapangaji wanaolipa jumla ya Tsh milio...