Nyumba inapangishwa Ukonga, Dar Es Salaam


NYUMBA 'SABA'- PAMOJA,INAUZA BANK,
TSHS.70 MILIONI, UKONGA-MOMBASA.
Hizi ni nyumba za Biashara ya Kupangisha.
Zipo umbali wa mita 300 tu kutoka Barabara ya Pugu.
Kiwanja SQM. 1,300.
Umiliki ni LESENI YA MAKAZI.
Kuna jumla ya Vyumba 23.
__________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
+255 714 591 548
_________________jj


















