Nyumba inapangishwa Ukonga, Dar Es Salaam







KIWANJA SQM 800, TSHS.145 MILIONI, UKONGA STAKISHARI.
Ni umbali wa Mita 70 tu kutoka Barabara ya Kinyerezi/Majumbasita.
Ukubwa wa SQM. 800.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Hapa panafa sana kwa Makazi tulivu au nyumba za kupangisha(Apartments)
Kumbuka ni jirani na Airport JNIA.
____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
____________mpg
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.