Nyumba inapangishwa Vikindu, Pwani


Na wewe niambie ni kero gani umeshapitia kwenye nyumba za kupangisha???
ππΎππΎππΎ
Karibu ujipatie viwanja
Viwanja vinapatikana VIKINDU KWA MTOPA, KABLA YA KUFIKA VIANZI MJINI
KUNA BARABARA MBILI NA ZOTE UNAFIKA SITE, UNAWEZA KUTIPITIA KISEMVULE NYUMBA NYEUPE AU VIKINDU
VIKINDU ipo mbele ya mbagala, mkoa wa PWANI
β‘οΈUkubwa wa viwanja
Sqm 200- futi 50/40 2,800,000
Sqm 400 futi 80/50-5,600,000
β‘οΈViwanja vimepimwa kwa mpangilio wa mipango miji na vina barabara kubwa za mitaa
β‘οΈviwanja tambalale, vinatambulika kiserikali na vina hati
β‘οΈviwanja vya makazi vinaanzia Tsh 2,800,000 kwa cash
β‘οΈmalipo ya installment, mteja ataanza na Tsh 1,500,000 tu iliyobaki utalipa kidogo kidogo kwa miezi 4
β‘οΈviwanja havina udalali
β‘οΈkutembelea site ni KILA SIKU YA WIKI KASORO SIKU YA JUMATATU TU HATUFUNGUI OFISI
β‘οΈtupigie simu leo 0710855997/0752855996
Whatsapp 0769355987