Nyumba inauzwa Kihonda, Morogoro





NYUMBA MBILI (PAMOJA) ZINAUZWA NA BANK, TSHS.30 MILIONI, MOROGORO.
Eneo ni KIHONDA, Mazimbu road.
Mita 400 tu kutoka Barabara ya Lami.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 800.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Kila nyumba moja ina vyumba vya kulala 3.
Na pia kuna Fremu mbili za Biashara.
___________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni 100,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
___________jj/mpg
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.