Nyumba inauzwa Kijitonyama, Dar Es Salaam


HOSTEL YENYE VYUMBA 19, TSHS.300 MILIONI,
KIJITONYAMA.
Kwa Daladala Kituo ni Sinza-MAPAMBANO.
Kiwanja ķina ukubwa wa SQM.400,
Na Umiliki wake ni MKATABA WA MAUZIANO.
Hii ni MALI ya Biashara ya Huduma ya Malazi kwa Wanafunzi wa Vyuo vya Kada mbalimbali.
Kwenye Kiwanja hiki kuna nyumba mbili,
Moja ikiwa ni Ghorofa ya Sakafu mbili.
Pia kuna Eneo kwaajili ya kutaarisha Chakula na Maakuli pamoja na Kisima cha Maji ikiwemo Hifadhi yenye uwezo wa ujazo wa Lit 30 Elfu kwa wakati mmoja.
____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
____________swtb
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.