Nyumba inauzwa Mbezi, Dar Es Salaam


NYUMBA INATUPWA HII JAMANI, TSHS.47 MILIONI, MBEZI-MJIMPYA.
Hapa ni nyuma ya MAGULI TERMINAL.
( Nauli Boda ni Tshs.1,500)
Kiwanja kina ukubwa wa SQM.700.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Vyumba vya kulala 3, Sebule, Jiko,
Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani.
______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_______________mpg