Nyumba inauzwa Ukonga, Dar Es Salaam







NYUMBA IMESHUSHWA BEI, SASA TSHS.30 MILIONI TU, UKONGA BOMBAMBILI.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 300.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Vyumba vya kulala 3 ( Masta 1)
Pia kuna Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Ni jirani na Stand ya Wilaya.
Huduma za Umeme na Maji zipo.
___________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
___________mskv
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.