Nyumba inauzwa Ukonga, Dar Es Salaam


LODGE NA BAR BARABARA KUU,TSHS.850 MILIONI, UKONGA.
Jengo lipo Kibiashara,
Linajiuza, Linavutia na linaiangalia Barabara ya PUGU.
Lodge ina jumla ya Vyumba 10 vya kulala (Vyote Masta)
KAUNTA zipo Mbili, JUU NA CHINI.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM.400.
HATI (Title Deed) ya Wizara ipo.
Hapa unanunua na Kurekebosha vitu vichache tu na unaanza Kazi kwa Jina lako la Biashara.
________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
________________mpg



















