Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Bunju, Dar Es Salaam


🌟 CHUMBA MASTER & JIKO — NDANI YA FENSI! 🌟
📍 Mahali: Bunju B, Dar es Salaam
📅 Nyumba mpya — zimekamilika kwa 90%, unaweza kuhamia baada ya siku 2!
⸻
🔹 Muundo wa Nyumba:
• 🛏️ Chumba kimoja cha kulala (Master)
• 🍽️ Jiko
• ⚡ Umeme: Mnashare wawili
• 🚿 Maji: Unajitegemea
⸻
💰 Kodi: TSh 90,000/= kwa mwezi
🔒 Malipo ya kuanzia: Miezi 3
⸻
📌 NOTE:
✅ Vyumba vya juu vyote vimejaa — vimebaki vya chini tu!
⸻
📞 Wasiliana Nami Leo:
📲 Simu au WhatsApp:
• 0687 800 788
• 0713 958 395