Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Bunju, Dar Es Salaam


🌟 CHUMBA MASTER- KIKUBWA SANA🌟
📍 Mahali: Bunju B - Karibu na Main Road
⸻
🔹 Muundo wa Nyumba:
• 🛏️ Chumba 1 cha kulala
• ⚡ Umeme: Mnashare Wawil
• 🚿 Maji: Mnashare Wawili
⸻
💰 Kodi: TSh 100,000/= kwa mwezi
🔒 Malipo ya kuanzia: Miezi 5
⸻
📞 Wasiliana Nami:
📲 0687800788
📲 0713958395



















