Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Bunju, Dar Es Salaam


🌟 CHUMBA, SEBULE & JIKO — NDANI YA FENSI! 🌟
📍 Bunju B, Dar es Salaam
🛏️ Muundo wa Nyumba:
• Chumba kimoja cha kulala
• Sebule ya kupendeza
• 🍽️ Jiko lilio wazi
• ⚡ Umeme: Unajitegemea
• 🚿 Maji: Mnashare na mpangaji mmoja tu
🧱 Ipo ndani ya fensi, salama na tulivu — mazingira mazuri kwa kuishi!
💰 Kodi: TSh 150,000/= kwa mwezi
🔒 Malipo ya kuanzia: Miezi minne
📞 Wasiliana Nami Leo:
📲 Simu au WhatsApp:
• 0687 800 788
• 0713 958 395