Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kigamboni, Dar Es Salaam


NYUMBA ZINAPANGISHWA KIGAMBONI
<> location kibugumo
<> nyumba ina chumba kimoja Master sebule na jiko (nzuri)
✅nyumba iko fenced
✅nyumba ina parking
✅nyumba iko barabarani
✅nyumba ina Electric ⚡️
✅nyumba nzuri na ya kisasa
<> asking price tsh,, 200k per month
mwezi moja wa dalali
<> malipo miezi miwili tu
<> Services Charge 20k zingatia utalatibu
◾️mawasiliano
✅0628505896
✅0763954837