Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







🇹🇿 #MASTER_BEDROOM_INAPANGISHWA – KIMARA KOROGWE
➖➖➖➖➖
📍 Kimara Korogwe
🕑 Umbali wa dakika 10 kwa mguu kutoka stendi ya mwendo kasi, au bodaboda Tsh 1,000 tu.
🏡 #SIFA ZA NYUMBA
🔹 Chumba kimoja (Master Bedroom)
🔹 Umeme una sub-meter yake
🔹 Maji yanapatikana ndani 24/7
🔹 Fensi yake (hailazi gari)
Mpangaji anatoka tarehe 10/03/2026 kuona ndani na kufanya malipo luksa muda wowote.
🔶 Kodi: Tsh 130,000/= × 6(miezi sita)
🔶 Malipo ya dalali: Tsh 130,000/=
🔶 Service charge: Tsh 20,000/=
#Piga_simu👇
#
📞 & Whatsapp
us🙏
Karibu Sana Mteja😁
###0655256419




















