Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







🇹🇿 #SINGLE ROOM #INAPANGISHWA
âž–âž–âž–âž–âž–
📍Kimara korogwe
đź•‘Umbali Kutoka stand ya Mwendokasi, kwa mguu dakika 10_12 bodaboda 1000 Tu
🏡#SIFAZAKE
🔹Chumba Kimoja
🔹Choo nje cha kwako pekee ako
🔹Kibaraza cha kupikia
🔹Umeme Sub-Meter yake inafungwa
🔹Maji nje masaa 24
🔹Nyumba haipo kwenye fance ila usalama wa kutosha no uswahili hapa
đź”¶Kodi Tsh 100,000/=Ă— 4,5,6 (Miezi Sita)
đź”¶Malipo ya Dalali Tsh 100,000/=
đź”¶Service Charge Tsh 15,000/=
__________
#Piga_simu
#O627977383
Karibu sana ndg Mteja.