Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







STEND ALONE INAPANGISHWA LOCATION KIMARA SUKA
KUPELEKWA KUONA NYUMBA SERVICES CHUG 15
UKIPENDA NYUMBA DALALI UTAMPA PESA YA MWEZI MMOJA
PIGA SIMU 0755831740
SIFA YA NYUMBA
_________________
vyumba vya kulala viwilli chumba kimoja ni master bedroom Sebule kubwa sana na jiko zuri ndani Inajitegemea umeme NA maji nyumba hii ipo ndani ya fensi Mazingira mazuri sana
Kwenye fensi ipo peke yake
KODI YA PANGO
________________
Kodi kwa mwezi ni laki tatu tuu/=
(300,000)
X 6
Kwa maelezo zaidi Piga simu uhudumiwe kwa halaka
0677445508