Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







HOUSE FOR RENT
LOCATION: KIMARA STOP OVER
DISTANCE: DK 15 KUTOKA MOROGORO ROAD
#Sebule Kubwa Sana
#Nyumba ilIna Vyumba V4 Vya Kulala
#Chumba Kimoja Master
#dnning room kubwa
#Jiko zuri ndani
#Inajitegemea umeme NA maji nyumba hii haipo kwenye fensi bado geti kuwekwa na ataweka piya njia yake yakuingia kwenye nyumba nayo ina malekebisho kidogo anaendelea kuiweka kwenye ubora mzuri
Mwenye Nyumba Anachukuwa Pesa Na Utasubiri Week 1
KODI 350,000 × 6
Service Charge 15,000
#Malipo Ya Dalali Peter Kodi Ya Mwezi Mmoja
For More informations
0688 067 289
0714 418 005 WhatsApp