Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







🇹🇿#MASTER_ROOM INAPANGISHWA
📍Kimara korogwe
🕓 km 1 Umbali wa kutoka stand ya mwendo kasi usafili boda boda 1000 Tu kwa mguu dakika 15 Tu
#SIFAZAKE
🌲Chumba kimoja Master kikubwaa
🌲Umeme submiter inafungwa
🌲Maji yanaflow ndani
🌲Fance amna mazingira mazuri sana
👉Ziko 4 kwenye compaund moja
🔹KODI Tsh120,000/= × 6 (MIEZI SITA)
🔹MALIPO YA DALALI TSH 120,000/=
🔹SERVICE CHARGE Tsh 15,000/=
Dalali mzoefu mwezi mmoja ulipiapo nyumba sevchage 15,000 kuona nyumba
Mawasiliano 0656623510
Wsp 0752436347
#