Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







✅ 🏠 NYUMBA NZURI INAPANGISHWA – KIMARA KOROGWE 🇹🇿
📍 Eneo: Kimara Korogwe
🕑 Umbali: Dakika 10–12 tu kutoka kituo cha mwendo kasi, bodaboda ni Tsh 1,000 tu!
---
🏠SIFA ZA NYUMBA
🔹 Chumba kimoja kikubwa
🔹 Sebule pana na yenye nafasi nzuri
🔹 Choo nje (safi na salama)
🔹 Umeme sub-meter yake binafsi
🔹 Ipo ndani ya fensi (si uswahilini)
👉 Zipo nyumba 4 kwenye compound, hii moja inafaulishwa kuona na kufanya malipo luksa kabisa
---
GHARAMA
🔸 Kodi: Tsh 120,000/- x miezi 6
🔸Kuna nafasi ya maongezi kidogo ikiwa umepungukiwa – tunakuombea!
🔸 Dalali: Tsh 120,000/-
🔸 Service Charge: Tsh 15,000/-
---
📞 Piga Simu / WhatsApp:
📱
---
🙏 Karibu sana mteja, nyumba inasubiri wewe!
✨ Fuatilia ukurasa huu kwa matangazo zaidi ya nyumba bora kila wiki!
###0655256419



















