Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







🇹🇿#MASTER_ROOM INAPANGISHWA
📍Kimara Stop over
🕓Umbali wa kutoka stand ya mwendo kasi km 1 usafili bajaji 700 bodaboda 1000 Tu mpaka getini
#SIFAZAKE
🌲Chumba kimoja Master kikubwaa
🌲Sehemu jiko
🌲Umeme Sub-meter yake wawili (2) Tu
🌲Maji yanaflow ndani
🌲Fenced & packing kubwa
👉Ziko 3 kwenye compaund moja na hii moja ipo wazi
🔹KODI Tsh 150,000/= ×6(MIEZI SITA)
🔹MALIPO YA DALALI TSH 150,000/=
🔹SERVICE CHARGE Tsh 15,000/=
#Piga_simu👇.
0627977383
& Whatsapp📞
#please #Follow us🙏
Karibu Sana Mteja😄