Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







🇹🇿MASTER_ROOM #INAPANGISHWA
📍kimara korogwe
🕑Dakika 8_10 Kutembea kutoka kituo cha Mwendokasi kwa mguu
🔹SIFAZAKE
🔹Chumba, Kimoja master Kizuri
🔹Umeme luku wanashare 2 Tu
🔹 Maji yanaflow ndani
🔹Nyumba hii ipo ndani ya fance packing amna ❌
📌Mazingira Tulivu Sana no uswahili hapa
🔸Kodi Tsh 100,000/=x6 (Miezi Sita)
🔸Malipo ya Dalali Tsh 100,000/=
🔸Service Charge Tsh 15,000/=
#Piga_📞simu
#0785889413
#.& Whatsap
#please #Follow us 🙏
Karibu Sana Mteja😊