Nyumba ya vyumba vinne inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







NYUMBA INA PANGISHWA INA JITEGEMEA YENYEWE KWENYE FENCE STAND ALONE KIMARA TEMBONI KM2 KUTOKA LAMI.
INAKUWA WAZI TAR 30.7.2025 KUONA NA KULIPIYA LUKSA
-------
Vyumba 4 vya kulala kimoja master bedroom
Seble kubwa sana
Dinning room
Jiko kubwa la kisasa lina makabati
Public toilet
Slide window
Luku yako
Maji yana flow
Ndani ya fence
Parking space kubwa sana
--------
Service charge 15,000/=
Kodi 550,000/=ร6.
---------
Malipo ya dalali ya mwezi mmoja ambayo ni laki 5.5
---------
Contact
#0676_218580(WhatsApp)
#0693_673010
#DALALI_BIG_KIMARA๐น๐ฟ
#KIUMBE_REAL_ESTATE_AGENT
EPUKA MATAPELI FANYA KAZI NA MADALALI WENYE OFFICE NA WALIYO SAJILIWA ๐