Nyumba ya vyumba vinne inapangishwa Mwera, Tanga


NYUMBA INAPANGISHWA MWERA SKULI
#unguja #zanzibar
Umbali kutoka nyumba ilipo mpaka barabarani Mita 300
Vyumba 4 (Master 2) Sitting Room, Dining Room Public Toilet, Stoo..
Fensi
Maji (Kisima)
Bei Tsh 350,000/- Laki tatu na elfu hamsini kwa MWEZI (Malipo kuanzia miezi 6)
What's App/Call 0653007438
#mtegemeachanduguhufamaskini
#kimfaachomtuchake