Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Goba, Dar Es Salaam





GOROFA YA-KISASA, VYUMBA VINNE(4) TSHS.560 MILIONI, GOBA-KULANGWA.
Hii ni nyumba nzuri YAKUHAMIA.
Ipo umbali wa Mita 600 tu kutoka Barabara ya Lami ya Goba/Wazo.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 900.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.
Vyumba vyote 4 (vya kulala)
Kila kimoja na Choo chake ndani.
Pia kuna Sebule 2, Choo cha Familia na Store.
Mnunuzi Wasiliana nami wewe mwenyewe.
__________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
__________jj
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.