Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Goba, Dar Es Salaam







PAGALE LA GHOROFA, VYUMBA VINNE (4) TSHS.90 MILIONI TU, GOBA KULANGWA.
Hii ni nyumba nzuri ya KUMALIZIA UJENZI.
Ghorofa yenye Salafu mbili.
Ipo umbalivwa kilomita 2 kutoka Barabara ya Lami ya
Goba Madale.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 700.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.
Jumla ina vyumba vya kulala 4 ( Masta 1)
Pia kuna Sebule,Jiko,Dining-room,Store na Choo cha Familia ndani.
_____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10:
Kuona ni Tshs.50,000
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548.
_____________mpg
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.