Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam


NYUMBA YENYE VYUMBA VINNE(4) TSHS.50 MILIONI, KIGAMBONI CHEKECHEA.
CHEKECHQ ni eneo ambalo lipo umbali wa wastani wa kilomita 21 kutoka Feri.
Hii ni nyumba nzuri ambayo ipo ndani ya Fensi.
Ina jumla ya vyumba vinne 4, ambapo kimoja 1 ni Masta.
Pia kina Sebule,Jiko,Dining-room,Store na Choo cha Familia ndani.
Ukubwa wa Kiwanja ni SQM. 423.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
____________mskv
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.