Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kimara, Dar Es Salaam





INAUZA BANK: GHOROFA VYUMBA VINNE(4) TSHS.80 MILIONI, KIMARA-TEMBONI.
Kiwanja kinabukubwa wa SQM. 2600.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Hii nyumba ipo umbali wa 100 kutoka Barabara ya TEMBONI/MATOSA.
Vyumba 4 (Masta 1)
Pia kuna Sebule,Jiko,Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
_____________mpg
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.