Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kivule, Dar Es Salaam


NYUMBA YA GHOROFA YAKUMALIZIA,TSHS.57 MILIONI, KIVULE-FREMUKUMI.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM.750.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO
Ina Vyumba 4 ( 2 Vyoo ndani)
Pia Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani
Ipobkwenye Fensi.
________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_________________mskv