Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kivule, Dar Es Salaam


NYUMBA YA KISASA,VYUMBA 4,TSHS.56 MILIONI, KIVULE/MSONGOLA.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 480.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Hapa ni Gari moja tu kufika Mjini,
Mtaa tulivu na Jirani na Kituo cha Daladala.
Vyumba 4 ( 2 Vyoo ndani)
Pia kuna Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani
_____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
____________mskv