Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mbagala, Dar Es Salaam


NYUMBA YENYE VYUMBA 4, TSHS.45 MILIONI,MBAGALA-CHAMAZI/SAKU-LULU
Chumba kimoja ni Masta.
Ujenzi wa kisasa.
Ina nafasi na ni YAKUHAMIA.
_____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_____________rjk


















