Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Ukonga, Dar Es Salaam


SASA IMESHUKA BEI, VYUMBA 4, TSHS.55 MILIONI.
MOSHI-BAR KWAMKOLEMBA/UKONGA.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 350
Kiwanja KIMEPIMWA
(Hati ipo kwenye Mchakato)
Vyumbac4 ( Masta 1)
Pia kuna Sebule,Jiko,Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Ni nyumba ya KUHAMIA na Parking ipo.
___________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
___________dukNu
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.