Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Kimara, Dar Es Salaam


Nyumba Ya Kisasa Inauzwa
Mahali: Kimara Temboni
Bei: Milioni 250 (Unaweza Kutanguliza M200, Nyingine Utamalizia Kwa Awamu)
Km1 Kutoka Lami, Barabara Ni Rafiki
☑️Sqm600
☑️Vyumba 5, Vitatu Ni Master, Sebule Mbili Dining Jiko Store Choo
☑️Majirani Wamepoa Sana, Mitaa Mizuri
☑️Hati Inatoka Kwa Jina La Mnunuzi.
Gharama Ya Kuoneshwa Ni 50,000/= (Inalipwa Maramoja Na Itadumu Mpaka Upate)
Whatsapp: 0764486945
Call: 0682699988 / 0622651649
Viwanja Na Office Space Pia Zinapatikana Kwa Size Zote. Karibuni Sana Wateja Wangu🙏
#MasterMijengo #DalaliMasterTz