Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Kivule, Dar Es Salaam


NYUMBA YENYE VYUMBA 5, TSHS.40 MILIONI, KIVULE-MAGOLE.
Kiwanja SQM.350.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Nyumba nzuri.
Vyumba 5 ( Masta 1) Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
______________mskv
Ukihitaji kukagua taarifa mapema.