Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Ubungo, Dar Es Salaam


GHOROFA YENYE VYUMBA 5, TSHS.350 MILIONI, UBUNGO-KIBO.
Hii ni nyumba nzuri ambayo ipo umbali wa mita 30p tu kutoka Barabara ya Morogoro.
Vyumba 5 (3 Vyoo ndani)
Pia I na Sebule, Jiko, Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani.
Ndani ya Geti na Parking in Paving.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 600.
______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
______________mpg