Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Bunju, Dar Es Salaam







๐ NYUMBA MPYA YA VYUMBA 3 ๐
๐๏ธ Zipo nyumba 4 ndani ya fensi moja
๐ Mahali: Bunju โBโ
๐น Vyumba 3 vya kulala (2 ni Master)
๐น Master kubwa ina makabati
๐น Sebule na Dining ๐๏ธ๐ฝ๏ธ
๐น Jikoni yenye nafasi
๐น Choo cha public + Stoo
๐น Maji: DAWASCO (unajitegemea) ๐ง
๐น Umeme: LUKU (unajitegemea) โก
๐น Full Air Condition (AC) โ๏ธ
๐ธ Kodi: TZS 750,000/= kwa mwezi
๐ Malipo ya kuanzia miezi 6
๐งพ Service Charge: TZS 20,000/=
๐ Wasiliana:
๐ฑ 0687 800 788
๐ฑ 0713 958 395