Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Bunju, Dar Es Salaam


‼️NYUMBA MPYA YA KISASA INAPANGISHWA‼️
🏡 Zipo 5 ndani ya uzio mmoja wa kisasa
📍 MAHALI: Bunju B – Njia ya Mabwepande
🏠 MAELEZO YA NYUMBA:
🛏 Vyumba 3 vya kulala (kimoja ni Master Bedroom)
🛋 Sebule kubwa yenye nafasi
🍽 Chumba cha kulia chakula (Dining Room)
🍳 Jiko safi na la kisasa
📦 Stoo kwa ajili ya kuhifadhi vifaa
🚽 Choo cha jumuiya (Public Toilet)
👗 Kila chumba kimefungwa Kabati la Nguo
⚡️ Umeme na Maji ni kwa utaratibu wa kujitegemea (LUKU & Maji ya DAWASA)
💰 GHARAMA:
Kodi: TSh 450,000/= kwa mwezi, Malipo kuanzia miezi 3
Service Charge: TSh 20,000/=
📞 WASILIANE NAMI : Call / WhatsApp: 0687 800 788