Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam


——
#STAND_ALONE/ INAJITEGEMEA YENYEWE KWENYE ENEO LAKE HAINA UZIO INAPANGISHWA KIMARA SUKA #200k
Vyumba 3 vyakulala kimojawapo master bedroom sebule dinning jiko na public toilet
Kodi 200,000 kwa mwezi × 6
Umbali KM 1.5 Usafiri bajaji na Bodaboda 1000
Inajitegemea umeme na maji yanaflow chooni na jikon
Kupelekwa kuona nyumba elfu 15 itadumu mpaka upate bila kuchajiwa tena
DALALI KIMARA SUKA LEONARD
0719-092747