Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







INAPANGISHWA LOCATION KIMARA STOP OVER DK 10
KUTOKA STEND STOP OVER PIKIPIKI ELF 1
KUPELEKWA KUONA NYUMBA SERVICES CHUG 15,000 UKIPENDA NYUMBA DALALI UTAMPA PESA YA MWEZI MMOJA
SIFA YA NYUMBA
__________________
hii nyumba ina vyumba 3 vya kulala chumba kimoja ni master bedroom Sebule kubwa na jiko ndani Inajitegemea umeme NA maji nyumba hii haipo kwenye fensi Ira ina Mazingira mazuri sana
Mtu mwenye malego hii nyumba ina faa sana
KODI YA PANGO
_________________
kodi kwa mwezi ni laki tatu tuu/=
(300,000)
X 6
##06555256419