Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Mbweni, Dar Es Salaam


π‘ NYUMBA YA KUJITEGEMEA INAPANGISHWA β VYUMBA 3 VYOTE MASTER | MBWENI JKT β DAR ES SALAAM
Fursa ya kipekee ya kupanga kwenye nyumba ya kisasa, iliyojengwa kwa ubora na nafasi ya kutosha kwa familia.
π Mahali: Mbweni JKT, Dar es Salaam
π Aina: Stand Alone House (Nyumba ya kujitegemea)
π Vyumba: 3 vyote ni Master
**π Sebule kubwa
π½ Jiko la kisasa
π³ Garden nzuri
β Feni na A/C
π Parking ya kutosha
π° Kodi: TSh 1,500,000 kwa mwezi
π Malipo: Kuanzia miezi 6
π Malipo ya dalali: Mwezi mmoja
π Wasiliana: #0689138795whatsapp
#0758998074π
#StandAloneHouse #NyumbaInapangishwa #MbweniJKT #Vyumba3 #MakaziDar #RealEstateTZ