Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Sinza, Dar Es Salaam


NYUMBA STAND ALONE
@
Inapangishwa
@
Bei 900,000 kwa mwez
‘@
Mahali sinza
@
Kodi ya miez 6 na dalali 7
@
Inakua wazi mwisho wa mwez wa 8
@
Ni nyumba ya vyumba 3 sebule jiko choo
@
Chumba kimoja master
@
Parkingi ipo na maji pia
@
Garama ya kupelekwa ni sh 30000
@
Kwa mawasiliano ya sm 0756999550
@
Namba ya wasp 0659848687