Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Sinza, Dar Es Salaam


Nyumba Inapangishwa
Mahali: Sinza Kijiweni
Bei: 600,000 Kwa Mwezi
Malipo: Miezi 6
Inafaa Kuishi Na Ofisi Pia
☑️Inatizama Lami
☑️Vyumba 3, Kimoja Ni Master
☑️Sebule, Dining, Jiko & Choo
☑️Fensi & No Parking
☑️Inajitegemea Umeme
☑️Reserve Tank
☑️Dawasa Maji 24/7
Gharama Ya Kuoneshwa Ni 30,000/= (Inalipwa Maramoja Na Itadumu Mpaka Upate)
Bila Kusahau Malipo Ya Mwezi Mmoja Wa dalalimastertz
Whatsapp: 0764486945
Call: 0682699988 / 0622651649
Viwanja Na Ofisi Vinapatikana Kwa Size Zote. Karibuni Sana Wateja Wangu🙏
#DalaliMasterTz #MasterMijengo