Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Bunju, Dar Es Salaam


NYUMBA YA VYUMBA 3,TSHS.90 MILIONI,MPIJI MAGOE.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 1,000.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Hii nyumba ipo umbali wa mita 100 tu kutoka Barabara ya kuelekea BUNJU-A.
Ni nyumba yenye nafasi na vile vile ina MABANDA YA KUFUGIA KUKU na Mfumo wa Umeme wa Nishati ya Jua/Solar System.
_________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
__________________mpg


















