Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Chanika, Dar Es Salaam
NYUMBA YA KISASA, VYUMBA 3, TSHS.69 MILIONI,
KWA MBIKI, CHANIKA.
HII NI NYUMBA YA KUHAMIA.
Vyumba 3 ( Masta Pia Ina Sebule,Jiko,
Dining-room,Store na Choo cha Familia ndani.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 990.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Hii nyumba Ina KISIMA ndani na Parking ipo pia.
____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
____________mskv
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.