Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Goba, Dar Es Salaam


NYUMBA INAUZWA NA BANK,TSHS.50 MILIONI,GOBA-MATOSA.
Kiwanja SQM.1,200.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Ipo umbali wa kilomita 1 tu kutoka MATOSA MKWAJUNI.
Vyumba 3 (Masta 1)
Pia kuna Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
________mpg


















