Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Goba, Dar Es Salaam


GHOROFA, INAUZA BANK,VYUMBA 3,TSHS.90 MILIONI,GOBA KIBURU.
Ipo mita 100 tu kutoka Barabara ya Lami.
Si mbali kutoka Giba SENTA.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 300
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Vyumbac3(Masta 1)
Pia kuna Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
_______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_______________jj


















