Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibaha Kwa Mathias, Pwani (625 sqm)







Aina
Nyumba
Vyumba
3
Bafu
1
Ukubwa
625 SQM
Sifa
Maelezo
BOMA ZURI SANA LA VYUMBA VITATU LINAUZWA KIBAHA KWA MATHIAS TSH MILIONI 17 TU.
==========
π»Lina vyumba vitatu vya kulala, kimoja ni Master
π»Sebule kubwa
π»Jiko kubwa
π» Public toilet
__________________
βοΈ Boda buku tu hadi mlangoni
βοΈ Ipo kwenye barabara ya mtaa
βοΈ Ina ukuta pande mbili, ukitaka kijanga fence zinabaki pande mbili tu za kumalizia
π Kiwanja chake kina 25*25
π Nguzo ya umeme imegusa kiwanja, maji yamepita pembeni ya kiwanja
_____________________
π° BEI MILIONI 17 tu
==========
βοΈ Kupelekwa kuona nyumba Tsh 20k tu
==========
Call/WhatsApp:
#0714972994




















