Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam


Nyumba Mpya Inauzwa
Mahali: Kigamboni Gezaulole
Bei: Milioni 280 (Maongezi)
Mita 500 Kutoka Barabara Ya Lami
☑️Sqm600
☑️Vyumba 3, Vyote Ni Master
Sebule, Dining Jiko Store Choo
☑️Hati Miliki Ya Wizara
Gharama Ya Kuoneshwa Ni 50,000/= (Inalipwa Maramoja Na Itadumu Mpaka Upate)
Whatsapp: 0764486945
Call: 0682699988
Viwanja Na Office Space Pia Zinapatikana Kwa Size Zote. Karibuni Sana Wateja Wangu🙏
#MasterMijengo #DalaliMasterTz