Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kijitonyama, Dar Es Salaam


#Repost @Dalali_tabata_jeffu
——
Nyumba Mbili Zinauzwa
Mahali: Kijitonyama Ushuani
Bei: Milioni 500 (Mazungumzo)
☑️Pamezungukwa Na Barabara Mbili.
☑️Ukubwa: Sqm450
☑️Sifa: Nyumba 1: Vyumba 3, Kimoja Ni Master Sebule, Dining, Library, Jiko Store & Choo
Nyumba 2: Limepangishwa Mtu Wa Shule
☑️Umiliki: Hati Ya Wizara
☑️Umbali: Mita 50 Kutoka Lami
☑️Inafaa Kwa Uwekezaji Wa Apartments, Warehouse, Godown, Lodge, Nyumba Ya Kuishi.
Gharama Ya Kuoneshwa Ni 50,000/= (Inalipwa Maramoja Na Itadumu Mpaka Upate.
Ofisini: Sinza Palestina (Kwa Babu Sea)
Call & Whatsapp: 0689 439 787 whts up or call
Call: 0767 175 242 call
Viwanja Na Office Space Pia Zinapatikana Kwa Size Zote. Karibuni Sana Wateja Wangu🙏



















