Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kipunguni, Dar Es Salaam


NYUMBA YENYE VYUMBA 3, TSHS.59 MILIONI, KIPUNGUNI-B/UKONGA.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 800.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Hii nyumba ipo umbali wa mita 200 tu kutoka Barabara ya Pugu.
Vyumba 3 (Masta 1)
Pia kuna Sebule,Jiko,Dining-room,Store na Choo cha Familia ndani.
_____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
_____________jj